My Blog List

Monday, October 17, 2016

michezo : Stan Bakora ajibu mapigo kwa Barakah The Prince



Mchekeshaji maarufu Stan Bakora amefunguka juu ya povu lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya kuachia parody ya wimbo ‘Nisamehe’.
stan-bakora
Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan amesema kuwa kama asingefanya vile video ingekuwa ya kawaida tu na isingeleta maana.
Barakah ameshindwa kuelewa. Kama nisingefanya vile ile video isingeleta maana, lazima uonyeshe uhalisia. Kwani Baraka si mweusi kweli?,” amesema Stan. Stan aliendelea kwa kumtania Barakah kwa kumwambia kuwa hapa mjini [Dar es Salaam] ndio kwanza ana Christmas mbili.
Awali baada ya Stan kuachia parody hiyo, Barakah aliandika kwenye Instagram: Matani ni mazuri ila yakizidi yanaweza kuleta matatizo… heshima ichukue nafasi yake tafadhali mzee utani huu sijaupenda iwe mwanzo na mwisho tafadhali.”

michezo : Lizer wa ‘Wasafi Records’ aeleza changamoto aliyopata baada ya kuaanza kufanya kazi na wasanii wa ‘WCB’

Mtayarishaji wa muziki kutoka ‘Wasafi Record’, Lizer amefunguka kwa kusema kuwa aina ya muziki anaofanya haikupendwa na viongozi wa label hiyo.

wcb
Wasanii wa WCB wakiwa studio.
Lizer ambaye tayari ameshafanya hits kadhaa za wasanii wa WCB, amesema aliwalazimisha kuukubali muziki wake ili kuwa tofauti na maproducer hapa.
“Changamoto ambayo nilikutana nayo kwanza nilileta muziki mwingine ambao ulikuwa tofauti na wao walikuwa na muziki wao,” Lizer aliiambia FNL ya EATV. “Kwa hiyo walikuwa wanajaribu kuni-force niwe kama producer wa hapa, lakini mimi nikasema nikiwa kama producer wa hapa nitakuwa sijaleta kitu kipya natakiwa kuwa tofauti kidogo. Kwa hiyo niliwalazimisha muziki wangu na nashukuru mungu watu wameupokea vizuri na wao tunaenda sawa,”
Pia Lizer alisema siyo kweli kwamba Harmonize anamwiga Diamond kuimba ambapo amedai wasanii hao kila mmoja ana muziki wake.

Sunday, October 16, 2016

DECENT: Virgin America sneakers feature Wi-Fi and working video display






The sneakers are the creation of brand agency Eleven Inc. and feature a Wi-Fi hotspot, a built-in phone charging port, a tiny, working video display, three-hour battery life and a seatbelt buckle for that in-flight feel.

But before you dismiss them as the unsexy, alternate universe version of the Nike Mag, it should be noted that these shoes are also being auctioned off for a good cause.
The auction will benefit Soles4Souls, a non-profit organization that works to give shoes and clothing to impoverished communities.

The agency only created one pair, and the latest bid, as of this writing, stands at $4,950 on eBay, with just a little less than eight days left.
No, these probably don't represent the high-end style most imagine when thinking of riding in first class, but as an incredibly rare mix of fashion and tech, it's hard not to consider a bid.